Leo sikulala vizuri. Nilitembelewa na rafuiki yangu Sheryl Saso. alilala kwenye sofa. Tumeongea muda mreu. Baadaye nikajaribu kulala, lakini sikupata usingizi. Sasa hivi natoka naelekea kwenye mihanjo.
Baadaye nafikiri nitafanya mazoezi. Na jioni nafikiri nitatoka out pamoja na marafiki:)
Mungu awabariki.
No comments:
Post a Comment